Mnyama Diamond akitumbuiza katika jukwaa la Serengeti Fiesta ndani ya Uwanja wa Jamhuri Morogoro2012
Wema Sepetu naye hakuwa nyuma kwani ali mwaga mauno ile mbaaaaaaaya.
Wasanii wa Bomgo movie wa kiwashukuru wakazi wa Moro
kwa ushirikiano wao.
Pichani kulia ni mkuu wa mkoa, Joel Bendera akisoma mshindi
wa pikipiki zinazotolewa na Kampuni ya Push Mobile katika
mchakato mzima wa Tamasha la Serengeti Fiesta 2012,
Kati ni meneja wa masoko wa kampuni ya Push mobile
Rodney Lugambo pamoja na msanii wa kundi la
Zecomedy Mpoki.
Watu waliofurika ndani ya Tamasha hilo la Serengeti Fiesta 2012 Bhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaass!!
No comments:
Post a Comment